Haile Ngoma ya Wana

Haile Ngoma ya Wana

SvahilštinaEbook
Ahmed, Ahmed Hussein
Mkuki na Nyota Publishers
EAN: 9789987085149
Dostupné online
635 Kč
Běžná cena: 705 Kč
Sleva 10 %
ks

Podrobné informace

Diwani hii imeandikwa kwa lahaja ya Kimvita, lahaja izungumzwayo jijini Mombasa. Lahaja hii imetumiwa na washairi maarufu pamoja na wazoefu wa tungo katika nyakati mbalimbali kihistoria kama vile Shaha Muyaka wa Muhaji, Ahmad Nassir Juma Bhalo, Abdilatif Abdalla na sasa Ahmed Hussein Ahmed. Hii ni lahaja yenye manyumbulifu anuwai kwa namna sauti zake zinavyoleta maana tafauti zinapotamkwa na ina ukwasi wa misamiati. Mashairi yaliyomo kwenye diwani hii yanaangazia mada mbalimbali zikiwemo, utamaduni wa mwandishi, masuala ya maisha, mijadala ya kielimu, maswali na majibu, taanasi and masuala ya kisasa. Vile vile mshairi ametumia mbinu mbalimbali za tasnifu ya tungo kwa mfano, tathlitha, tarbia na majibizano kufikisha u
EAN 9789987085149
ISBN 9987085148
Typ produktu Ebook
Vydavatel Mkuki na Nyota Publishers
Datum vydání 13. listopadu 2024
Jazyk Swahili
Země Uruguay
Autoři Ahmed, Ahmed Hussein
Informace o výrobci
Kontaktní informace výrobce nejsou momentálně dostupné online, na nápravě intenzivně pracujeme. Pokud informaci potřebujete, napište nám na info@megabooks.cz, rádi Vám ji poskytneme.